Baada
ya usajili wa Ander Herrera na Luke Shaw, Manchester United
wamekamilisha usajili wa mchezaji mwingine ambae ni Marcos Rojo, beki wa
kiargentina aliyekuwa anakipiga kwenye klabu ya Sporting Lisbon.
Rojo ambaye alichaguliwa katika kikosi bora cha kombe la dunia,
amejiunga na United kwa ada ya uhamisho wa £16 pamoja na Luis Nani
kwenda Sporting kwa mkopo ambapo pia Manchester United wanaripotiwa
kuhamishia nguvu zao kwa Angel di Maria wa Real Madrid.
Latest
m.media photographer_mimi. Powered by Blogger.
Featured author
admin
PostsThe Admin is a powerful person in this world, more powerful than the president of USA. The very mention of admin sends shivers down the president. You have been warned!
Tagged with: michezo
About ujugu
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ABOUT ME
- Popular Post
- Video
- Category
HOT NEWS
-
Diamond akiwa na mkubwa wake wa kazi
-
Since its founding, Ketebul has been focused on ‘Bridge’ artists – the key artists that created certain genre that link the tribal mus...
-
Wanajeshi wa Brigedi Maalum wakiwa katika mazoezi makali yaliyofanyika hivi karibuni huko Goma Mashariki ya Demok...
No comments: