Slider[Style1]

HABARI

BONGO MOVIES

BONGO FLEVA

.

BONGO VIDEOS

Style5[ImagesOnly]

STORY ZA INSTAGRAM


Msanii wa maigizo na filam anayetamba na thamhilia za itv hussein juma almarufu kama kambangwa alie tamba na michezo kama kivuli,taharuki,kovu la siri,kivuko na donda la kichwa.msanii huyo alipokutana na
mwandishi wa blog hii jana pande za leeders akiwa amelewa chakari na kutoa maneno ambayo yapo ndani ya moyo wake kuwa anampenda sana mwanadada zuwena mohamedi marufu kama shilole kwani mara nyingi alikuwa anakutana nae kwenye pita pita zake.hivyo basi anasema angetamani ata siku moja kulala na mwanamuziki huyo kwani anamvuto kimapenzi na yupo ladhi japo ni mdogo kiumri lakini kama shilole takuwa nae atafurahi sana
so UJUMBE HUU AMEOMBA TUFIKISHE KWA SHILOLE AU KAMA KUNA MTU WA KARIBU WA SHILOLE AMTARIFU KUHUSU UJUMBE HUU AND THEN AMPIGIE KAMBANGWA KUTIPIA face book/hussein kambangwa

About ujugu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

WHEAT CLICK THIS PHOTO