Slider[Style1]

HABARI

BONGO MOVIES

BONGO FLEVA

.

BONGO VIDEOS

Style5[ImagesOnly]

STORY ZA INSTAGRAM

Mbeya. Rais Jakaya Kikwete ametangaza neema kwa wafanyakazi baada ya kuahidi kuwa Serikali itawapunguzia makato ya kodi (Paye) na pia itawaongezea mishahara.
Akihutubia taifa katika kilele cha Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) mjini Mbeya jana, Rais Kikwete alisema Serikali imeitikia   kilio cha muda mrefu cha wafanyakazi.
Aliahidi kuwa Serikali itatangaza punguzo hilo la ongezeko la kodi na mishahara kwa watumishi wa umma wakati Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa atakapowasilisha Bajeti ya Serikali ya Mwaka wa  Fedha wa 2013/14.

About ujugu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

WHEAT CLICK THIS PHOTO