Mbeya. Rais Jakaya
Kikwete ametangaza neema kwa wafanyakazi baada ya kuahidi kuwa Serikali
itawapunguzia makato ya kodi (Paye) na pia itawaongezea mishahara.
Akihutubia taifa katika kilele cha Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) mjini Mbeya jana, Rais Kikwete alisema Serikali imeitikia kilio cha muda mrefu cha wafanyakazi.
Akihutubia taifa katika kilele cha Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) mjini Mbeya jana, Rais Kikwete alisema Serikali imeitikia kilio cha muda mrefu cha wafanyakazi.
No comments: