Slider[Style1]

HABARI

BONGO MOVIES

BONGO FLEVA

.

BONGO VIDEOS

Style5[ImagesOnly]

STORY ZA INSTAGRAM

DIRECTOR ambae ana sadikika kuwa ni mdogo kiumri ila ni mkubwa katika kazi ni huyo hapo chini anakwenda kwa jina la michael mick au the DIRECTOR  akiwa amefanya kazi na wasanii wakubwa kama MBOTO,IREN UWOYA,DUDE,AUNT EZAKIELMRISHO MPOTO NA WENGINEO WENGI pia amefanya kazi na ma director wakubwa kama RASHIDI MRUTU,JHON LISTER,PAUL JHON,KANUTI Kiukweli ukimuona unaweza kumzarau ila kama ungejua kuwa kijana huyo ndie alie fanya EDITING YA moive kama BORA MIE MBOTO chini ya directo john lister,ULIMI ya IRINE UWOYA chini ya director rashidi mrutu. na nyingi nezo nyingi pia kijana huyu amechukua tuzo ya kuwa DIRECTOR MDOGO AFRICA ANAE FANYA VIZURI ZAIDI KWENYE INDUSTRY YA MOIVE


About ujugu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

WHEAT CLICK THIS PHOTO