Latest
Featured author
admin
PostsThe Admin is a powerful person in this world, more powerful than the president of USA. The very mention of admin sends shivers down the president. You have been warned!
ETO'O AHUSISHWA NA KUDANGANYA UMRI WAKE. EX-GIRL WAKE AFUNGUKA.
Posted by: ujugu Posted date: 19:04 / comment : 0 Burudani
“Tatizo la Chelsea ni kukosa wafungaji, nina Eto’o ambaye ana miaka 32 au labda 35 nani anayejua?”.
Hiyo ilikua ni kauli ya kocha Jose Mourinho akimzungumzia Samuel Etoo na baadae mpenzi wa zamani wa Eto’o aliongea kuhusu umri wa mchezaji huyo kitu ambacho kimewashangaza watu wengi.
Anna Barranca alikuwa mpenzi wa zamani wa Eto’o na kupata mtoto mmoja wa kike ambaye hivi sasa ana miaka 11 amesema Eto’o ana miaka 39 kuelekea 40 na sio 35.
Mwanamke huyo amesema kwamba alijua kuhusu umri wa Eto’o wakati wapo Cameroon kutoka kwa mtu ambaye alikua pamoja na Etoo tangu utotoni.
FUNDI SAMWELI ATHIBITISHA KUACHANA NA MKEWE MWANAMUZIKI SARAHA
Posted by: ujugu Posted date: 21:10 / comment : 0 Burudani
Mtayarishaji huyo amesema sababu kubwa ya kuachana ni ubusy waliokuwa nao uliosababishwa na muziki na hivyo kuwafanya wasiwe karibu kwa kipindi kirefu.
“Mimi na Saraha tuliachana, kilikuwa kitu kibaya kwangu na kwake pia ndio maana nilikuwa kimya kidogo mwaka huu sababu unajua moyo ulivunjika sana na mood lazima ipotee,” Fundi Samwel amemuambia Sam Misago kwenye kipindi cha Power Jams cha East Africa Radio.
“Unajua kukaa na kufanya muziki lazima utumie muda sana na unatumia akili sana, na hata yeye alifanya kazi nzuri hapa, alikuwa busy sana, namimi nilikuwa busy ya studio. Unajua anakuta foleni kila siku halafu wewe unapiga kazi kama masaa 15 hivi and then unachoka sasa huwezo kuongea vizuri. Hata Saraha alichoka, unajua tulishindwa kuongea vizuri na kitu kiliendelea. And then tulipofika Sweden, unajua upendo uliisha tu, uliisha kabisa,” aliongeza.
Samwel ambaye tayari amerejea kwao nchini Sweden amesema yupo Tanzania kwa wiki mbili kutengeneza nyimbo kadhaa.
Picha 10 za Ay, FA, Ommy Dimpoz na wengine studio kwa Oskido South Africa.
Posted by: ujugu Posted date: 05:47 / comment : 0 Burudani
MAKALI YA KILIMANJARO STARS YAIPA TEAM YA KENYA MCHECHETO-LAZIMA WAKAE
Posted by: ujugu Posted date: 15:50 / comment : 0 Burudani
MZEE ZAHIR ZORRO ALA SHAVU TUSKER PROJECT FAME, HAMMY B IS NO LONG A JUDGE
Posted by: ujugu Posted date: 20:19 / comment : 0 Burudani
kwenye mpira wa bongo uchawi upo^juma kaseja asema hayo jana kwenye kipindi cha mkasi cha eatv
Posted by: ujugu Posted date: 20:29 / comment : 0 Burudani, juma kaseja
DIAMOND MUSICA, FIVE STAR MODERN TAARAB ZILIVYOUMANA DAR LIVE
Posted by: ujugu Posted date: 19:36 / comment : 0 Burudani
HII NDIO KAULI YA SINTAH BAADA YA KUTISHIWA MAISHA NA SHILOLE
Posted by: ujugu Posted date: 21:37 / comment : 0 Burudani
AMIN USIAMINI NYIMBO ZA ALLY KIBA ZINASIKILIZWA SANA NCHINI OMAN MUSCAT KULIKO NYIMBO ZOTE ZA BONGO
Posted by: ujugu Posted date: 21:30 / comment : 0 Burudani
Anaweza asiwe na hit redioni kwa sasa lakini Ali Kiba ndiye msanii wa Tanzania ambaye nyimbo zake zinasikilizwa zaidi mjini Muscat, Oman, kwa mujibu wa Mtanzania aishiye huko.
Bongo5 ilikuwa ikichat leo na Mtanzania huyo, Rayya Al Habsi. Ameiambia kuwa muziki wa Bongo Flava unasikilizwa mno nchini humo hata na watu wasiojua kabisa Kiswahili......
SIMULIZI NAJUTA KUTEMBEA NA BOSI?
Posted by: ujugu Posted date: 19:16 / comment : 0 Burudani
haya sasa pale tulipo ishia wiki jana huu ndo mfululizo wake NAJUTA KUTEMBEA NA BOSI?
Wengine wanafanya huu ukabaha kwa ajili ya kupeleleza yaani ni wapelelezi wa polisi au watu Fulani katika serikali wako katika mitaa hii kuzuga tu , ili wafanikishe kazi zao za uchunguzi kama polisi wa usalama sehemu walizoko .
{NEW SONG}SHEB LOVE-TOFAUTI NA JANA free download mabovu story
Posted by: ujugu Posted date: 17:17 / comment : 0 Burudani
{NEW SONG} SHEBBY LOVE-TOFAUTI NA JANA
}NEW SONG}SHEBBY LOVE-TOFAUTI NA JANA {MABOVU STORY}
Posted by: ujugu Posted date: 15:54 / comment : 0 Burudani, Swag
{NEW SONG} SHEBBY LOVE-JANA NA LEO
TAIFA STARS NA IVORY COAST KUKIPIGA LEO UWANJA WA TAIFA TANZANIA KATIKA KUWANIA KUFUZU KOMBE LA DUNIA HUKO BRAZIL 2014 Mungu ibaliki tanzania mungu ibaliki taifa stars
Posted by: ujugu Posted date: 14:19 / comment : 0 Burudani
TAIFA STARS A.K.A WATOTO WA DAR-ES-SALAAM

VS
IVORY COAST A.K.A TEMBO WA CO`TEDEVOR
NDANI YA UWANJA WA TAIFA WA MICHEZO DAR-ES-SALAAM TANZANIA
LEO NDO LEO NANI ATAIBUKA KINARA USIACHE
KUFUATILIA PICHA NA MATUKIO AMBAYO YATAKAYO KUWA YA
KIENDELA UWANJANI KUPITIA BLOG YAKO YA KIJANJA YA
MABOVU STORY.NA SUPER SPORTS3
SHILOLE NA HOFU YA KUROGWA "WASANII TUNAMALIZA WENYEWE"
Posted by: ujugu Posted date: 18:43 / comment : 0 Burudani
MSANII wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefunguka kuwa, suala la wasanii wa muziki kurogana linamuumiza kichwa kiasi cha kufikiria kuachana na kazi hiyo.
Akichonga na paparazi wetu pasipo kuwataja ‘wabaya’ wake, Shilole alisema hivi sasa ‘kesi’ za wasanii kurogana zimeshika kasi kuliko siku za nyuma na anashindwa kuelewa ni kwa nini watu wanamuasi Mungu kwa kuendekeza ushirikina.
“Kwa staili hii wasanii tutazidi kupukutika, kuna wakati huwa nafikiria hata kuachana na muziki maana tunarogana na namuomba Mungu usiku na mchana hata kabla ya kupanda stejini kwani hali ni tete,” alisema Shilole.
ABOUT ME
- Popular Post
- Video
- Category
HOT NEWS
-
Diamond akiwa na mkubwa wake wa kazi
-
Since its founding, Ketebul has been focused on ‘Bridge’ artists – the key artists that created certain genre that link the tribal mus...
-
Wanajeshi wa Brigedi Maalum wakiwa katika mazoezi makali yaliyofanyika hivi karibuni huko Goma Mashariki ya Demok...






