Drake na Rihanna wanaendelea kushibana na penzi lao linachanua huku wakiripotiwa kuwa na mpango wa kuishi pamoja.
Kwa mujibu wa gazeti la Daily Star,
chanzo kimoja kimeeleza kuwa Drake amemnunulia Rihanna zawadi ya pete ya
almasi yenye rangi ya njano yenye thamani ya $42,000 (sawa na
68,712,000/-).
Hata hivyo imeelezwa kuwa pete hiyo sio ya uchumba.
“Rihanna aliikubali zawadi hiyo kama
ishara ya mapenzi ya Drake. Sasa hivi (Drake) anabadili hata ratiba zake
ili atumie muda mwingi ipasavyo kuwa na Rihanna.” Kilieleza chanzo
hicho.
Drake na Rihanna wanaonekana kuwa karibu
zaidi kadiri siku zinavyozidi kwenda, na hata Jumapili katika MTV Movie
Awards walionekana wakiwa wameshikana mikono muda mfupi baada ya Drake
kuperform
Latest
m.media photographer_mimi. Powered by Blogger.
Featured author
admin
PostsThe Admin is a powerful person in this world, more powerful than the president of USA. The very mention of admin sends shivers down the president. You have been warned!
Tagged with: HABARI.COM
About ujugu
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ABOUT ME

- Popular Post
- Video
- Category
HOT NEWS
-
Diamond akiwa na mkubwa wake wa kazi
-
Since its founding, Ketebul has been focused on ‘Bridge’ artists – the key artists that created certain genre that link the tribal mus...
-
Wanajeshi wa Brigedi Maalum wakiwa katika mazoezi makali yaliyofanyika hivi karibuni huko Goma Mashariki ya Demok...
No comments: