Kama
mfatiliaji wa muziki wa Dansi Tanzania,jina la Mc D si jina geni
kwako,huyu ni Mpiga tumba maarufu Afrika mashariki Masoud Mohamed (MCD)
ambaye ni mpiga tumba kutoka bendi ya African Stars Band[Twanga
pepeta]habari za kifo hiki zimethibitishwa na msemaji wa Twanga pepeta.
Miongoni mwa bendi alizozitumikia Mcd enzi ya uhai wake ni pamoja na
Diamond Sound,Mashujaa Band na Twanga pepeta,taarifa zaidi zitafuata.
Latest
m.media photographer_mimi. Powered by Blogger.
Featured author
admin
PostsThe Admin is a powerful person in this world, more powerful than the president of USA. The very mention of admin sends shivers down the president. You have been warned!
Tagged with: Matukio
About ujugu
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ABOUT ME
- Popular Post
- Video
- Category
HOT NEWS
-
Diamond akiwa na mkubwa wake wa kazi
-
Since its founding, Ketebul has been focused on ‘Bridge’ artists – the key artists that created certain genre that link the tribal mus...
-
Wanajeshi wa Brigedi Maalum wakiwa katika mazoezi makali yaliyofanyika hivi karibuni huko Goma Mashariki ya Demok...

No comments: