Slider[Style1]

HABARI

BONGO MOVIES

BONGO FLEVA

.

BONGO VIDEOS

Style5[ImagesOnly]

STORY ZA INSTAGRAM


MTANZANIA, Vedastus Nsanzugwako ambaye alijeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililotokea katika jengo la biashara la Westgate, Nairobi, Kenya ameanza mazoezi ya kutembea baada ya kupata nafuu. Mtanzania huyo ambaye ni Meneja wa Kinga ya Watoto kwenye Shirika la Maendeleo ya Watoto la Umoja wa Mataifa (Unicef), anaendelea kupata matibabu katika Hospitali ya Agha Khan, Nairobi alikolazwa baada ya kujeruhiwa katika shambulizi hilo Jumamosi iliyopita.

Mtanzania Vedasto Nsanzugwanko akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Aga Khan mjini Nairobi, Kenya.

Soma zaidi: http://mwanahabariuswazi.blogspot.com/2013/09/mtanzania-vedastus-nsanzugwako.html#ixzz2ftvEDFMh

About ujugu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Mfalme mzee yusuph atoa pole kwa wananchi kenya kwa kile kilichokuwa kimetokea ndani ya westgate: mtazame hapa
»
Previous
MCHEZO UMEKWISHA..JESHI LA POLISI KENYA LAFANIKIWA KUWAUWA MAGAIDI WOTE WESTGATE MALL

No comments:

Post a Comment

WHEAT CLICK THIS PHOTO