Tuliendelea kwa miezi kadha na huyu kijana huku na
mimi nikiwa na bosi wangu
kule kazini , basi bwana siku moja , sisi officini tulitakiwa kwenda kutoa damu hospitali ya muhimbili katika maadhimisho ya siku ya afya duniani . Watu walipimwa afya zao na mimi nilipimwa , majibu yangu yalikuwa ya kutatanisha sikuamini macho yangu wala masikio yangu , nilienda hospitali ingine napo majibu yalikuwa yale yale kwamba nimeadhirika na UKIMWI .
haya sasa hapo ndipo tulipo ishia wiki ya jana sasa waweza soma tena mwendelezo wa simulizi hii ya NAJUTA KUTEMBEA NA BOSI!

Haya majibu yalimfikia mpaka bosi wangu nae akatambua hilo akasikitika sana nay eye alivyoenda kupimwa akakutwa hajaadhirika , basi nikajua moja kwa moja ukimwi nimepata kutoka kwa yule kijana wa mitaani na sio mtu mwingine .
kule kazini , basi bwana siku moja , sisi officini tulitakiwa kwenda kutoa damu hospitali ya muhimbili katika maadhimisho ya siku ya afya duniani . Watu walipimwa afya zao na mimi nilipimwa , majibu yangu yalikuwa ya kutatanisha sikuamini macho yangu wala masikio yangu , nilienda hospitali ingine napo majibu yalikuwa yale yale kwamba nimeadhirika na UKIMWI .
haya sasa hapo ndipo tulipo ishia wiki ya jana sasa waweza soma tena mwendelezo wa simulizi hii ya NAJUTA KUTEMBEA NA BOSI!

Haya majibu yalimfikia mpaka bosi wangu nae akatambua hilo akasikitika sana nay eye alivyoenda kupimwa akakutwa hajaadhirika , basi nikajua moja kwa moja ukimwi nimepata kutoka kwa yule kijana wa mitaani na sio mtu mwingine .
Nikamwomba huyu kijana tukaangalie afya zetu kwa
mara ingine tena hospitali , tukaenda kule kupima afya zetu , yeye ndio
alikuwa wa kwanza kupokea majibu yake , alikutwa ameadhirika akupata
mshituko wa ghafla yaani haamini .
Mshituko huo ulimpelekea aanguke chini na kuzimia
watu walienda kumbeba na kumpeleka hospitali kupatiwa huduma ya kwanza
basi hapo ndio magonjwa mengine yalianza kujitokeza na kujulikana sana .
Kumbe huyu kijana alikuwa na urafiki wa kimapenzi na
shugamami mmoja mtaa wa pili huyu shuga mami mume wake alifariki dunia
miaka 5 iliyopita kwa UKIMWI watu wanaema TB sijui , ndio huyu kijana
kuona zile pesa za shuga mamy akaenda kwake .
Kijana aliumwa kwa miezi 3 hivi kisha akafariki
dunia akaniacha duniani mwenyewe , kule kazini nilifukuzwa kaza na bosi
wangu kisa nilitaka kumwambukiza ugonjwa wa ukimwi , lakini siku moja
alinipigia simu kunieleza kwamba mke wake ameadhirika na UKIMWI pia
lakini yeye anasema hajaadhirika .
Hapo ndio nilishangaa sana , kwanini mke wa
aadhirike yeye asiadhirike au mke wake nae alikuwa anatoka nje ya ndoa
bila mume wake kujua ? basi hiyo ni siri yao nyumbani kwao mimi
hayanihusu .
Lakini ndio hivyo nilikuwa nimeshaadhirika na UKIMWI
kazi nimeshafukuzwa sina cha kufanya wala kutafakari nilifikiria zaidi
kuhusu ugonjwa wangu wa UKIMWI na jinsi nitakavyoweza kuishi maisha
marefu kwa matumaini .
KAHABA
Baada ya kuona maisha magumu na sina lolote la
kufanya mimi kama mwanamke mrembo na mwenye mvuto niliamua kutafuta njia
rahisi zaidi ya kujipatia kipitano nilifikiria njia nyingi sana ambazo
zingeweza kunipatia angalau mlo na mavazi katika siku zangu za maisha
zilizobakia baada ya kugundulika nina virusi vya ukimwi
Nikaanza kutafuta sehemu ambazo naweza kuuza mwili
wangu kwa pesa za chapchap niweze kuendeleza maisha yangu ya kila siku ,
nilikuwa na ramani yangu kwanza pale OHIO , JOLLY , MACHENI , BILLS NA
LATAVERNA hizo ni sehemu 5 kuu za starehe jijini dare s salaam kwahiyo
huko naweza kufanya kazi za kujiuza kwa wiki nzima kila siku bila
kuchoka .
Ohio ilikuwa nzuri ila tatizo lake ni kwamba kila
anayepita pale anakujua halafu unatakiwa uonyeshe maungo yako hazarani
mimi sikuzoea tabia hizo na sikuwa na mhemko huo kwahiyo nilivaa miwani
yangu na kuacha mapaja nje tu waangalie wenyewe kama wanapenda watakuja .
Kule macheni tatizo lake ni mashoga wengi sana , yaani mwanaume anaweza
akaja kutafuta Malaya akakuchanganya wewe ni shoga , wale mashoga
wanaojiuza hawana tofauti na sisi wanawake tunaojiuza wakati Fulani
ulitokea ugomvi mkubwa watu waliamulia tulimgombea mwanaume .
Billa nako kuzuri ila vijana wengi sana halafu
hawana pesa , na vitoto vidogo vingi , nilikuwa naogopa matatizo na
vijana wa kule sikupenda kufanya mchezo na watoto wadogo waliokuwa
wananitaka hata kwa dau gani nilingoja wanaume wenye pesa zao tu sio
zaidi .
Basi nilianza safari za kuelekea jolly club kwa
ajili ya kujiuza mwili wangu nipate angalau chochote cha kula na kufanya
katika maisha yangu , pale jolly club nilikutana na dada mmoja anaitwa
Aisha , huyu dada nae ni kahaba mzoefu akaanza kunionyesha mambo kadhaa
wa kadha kuhusu biashara ya ukahaba na kadhalika . Hapa ndio nilijufunza
kwamba sio makahaba wote ni masikini au hawajiwezi kuna wengine
wanajiweza na wanazo fedha ila wanapenda kufanya ukahaba yaani wamechoka
na dunia wengine walikuwa na wanaume wao wakaachika wakaamua kuja huku
kwenda na mwanaume wowote yule anayekuja .
Wengine wana matatizo katika ndoa zao kupigwa na
kadhalika wanaamua kuja huku kujiuza au kukaa huku ili kuepuka matatizo
katika ndoa zao au mahusiano yao , wengine ndio kama hivyo waume zao
hawana nguvu za kutosha kufanya nao tendo la ndoa wanaamua kuwa makahaba
kila mtu na lake na mambo yake pia .
No comments: