mchezaji wa ASHANT WATOTO WA ILALA Kaiko ataoa ya moyoni kuhusu mangwea pale alipo fanya interview leo hasuuhi na mabovu media group alikuwa na haya ya kusema
mabovu media:mambo vip bro
kaiko:poa salama lakini
mabovu media:salam sijui wewe
kaiko:mi niko poa lete story
maovu media:vip ndgu yangu umeskia kifo cha ngwea
kaiko:naam nimeskia
mabovu media:vip umekipokeaje wewe kama mwanamichezo
kaiko:dah kiukweli gwea ni rafiki ni ndugu ni jamaa wa watanzania wote ilakifo chake kwa upande wangu kimeniuma sana tena sana kwani mi ni shabikiwa ngwea wa kwanza hapa tanzania naweza sema ivyo
mabovu media:mhh sasa kaiko umeskia ngwea kafa kwa madawa ya kulevya wewe kama msanii unaweza sema nn juu yake
kaiko:mhh ujue uwezi jua kwa upande wangu sina uhakika kama ngwea ana tumia dawa za kulevya sasa wanaosema kafa na dawa siwezi wakatilia ila hilo siwezi jibu ila wasanii wengi wanabadilishwa tabia kwa sababu wanaiga mambo ya ughaibuni
mabovu media:sasa kaiko wewe unapenda kuimbia nini tanzania kuhusu ngwea
kaiko:mm napenda kusema kuwa ngwea tulimpenda lakini mungu alimpenda zaidi tuseme alhamdulilah kisha tumuombee afike salama katika safari yake ya mwisho
mabovu media:amina bro nikutakie kazi njema za kujenga taifa
kaiko:nawe pia
Latest
m.media photographer_mimi. Powered by Blogger.
Featured author
admin
PostsThe Admin is a powerful person in this world, more powerful than the president of USA. The very mention of admin sends shivers down the president. You have been warned!
Tagged with: Matukio
About ujugu
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ABOUT ME
- Popular Post
- Video
- Category
HOT NEWS
-
Diamond akiwa na mkubwa wake wa kazi
-
Since its founding, Ketebul has been focused on ‘Bridge’ artists – the key artists that created certain genre that link the tribal mus...
-
Wanajeshi wa Brigedi Maalum wakiwa katika mazoezi makali yaliyofanyika hivi karibuni huko Goma Mashariki ya Demok...
No comments: