familia ya mke,mume na mtoto yanusurika kufa huko mkoani dodoma kutokana na gari ya aina ya noah kupoteza mwelekeo na kwenda kugonga kwenye chumba cha wanafamili hiyo iliyo opposite na barabara ya jamuhuri mkoani dodoma. Akizungumzia tukio hilo kwenye blog ya MABOVU STORY mke wa gau alieleza kuwa alipo kuwa amelala yeye na mume wake na mtoto wake mwenye umri wa miaka kumi na nne mumin adam walisikia kishindo kikubwa kilicho ambatana na upande mkubwa wa ukuta wa chumba ukiporomoka ndani. tazama picha za tukio zima
na haji mwandawila

Latest
m.media photographer_mimi. Powered by Blogger.
Featured author
admin
PostsThe Admin is a powerful person in this world, more powerful than the president of USA. The very mention of admin sends shivers down the president. You have been warned!
Home
Unlabelled
FAMILIA YANUSURIKA KUFA KWA KUGONGWA NA GARI CHUMBANI USIKU WA MANANE
Tagged with:
About ujugu
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ABOUT ME
- Popular Post
- Video
- Category
HOT NEWS
-
Diamond akiwa na mkubwa wake wa kazi
-
Since its founding, Ketebul has been focused on ‘Bridge’ artists – the key artists that created certain genre that link the tribal mus...
-
Wanajeshi wa Brigedi Maalum wakiwa katika mazoezi makali yaliyofanyika hivi karibuni huko Goma Mashariki ya Demok...
No comments: