Slider[Style1]

HABARI

BONGO MOVIES

BONGO FLEVA

.

BONGO VIDEOS

Style5[ImagesOnly]

STORY ZA INSTAGRAM

Kinachoendelea eneo la Mkwajuni baada ya wananchi kufunga barabara..Picha

 

Wananchi hao waliamua kuchoma matairi katikati ya barabara na kusababisha usumbufu mkubwa kwa watumiaji wa barabara hiyo hadi askari wa FFU walipoingilia kati.
Hizi ni baadhi ya Picha kutoka eneo la tukio.
NJIA

NJIA2

NJIA3

NJIA4

mkwaju

mkwaju2




Hii Asilimia Ya Madini Ya Tanzanite Yanayotoroshwa Nje Ya Nchi Kila Mwaka.

Asilimia 80  ya madini aina ya Tanzanite yanayozalishwa nchini Tanzania, yanatoroshwa nje ya nchi na wafanyabiashara wasio waaminifu, huku nchi ikiambulia asilimia 20 tu ya madini hayo yanayozalishwa eneo la Mererani mkoani Manyara.

Kamishna wa Madini kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Paul Masanja, amesema hayo wakati wa maonyesho ya kimataifa ya Vito, yanayofanyika jijini Arusha na kukutanisha washiriki zaidi ya 500, huku kampuni 69 zikishiriki maonyesho hayo.

Masanja ametoa mfano wa mwaka 2013 ambapo Tanzania ilipata mapato yanayofikia dola za Marekani milioni 38 kutokana na Tanzanite, wakati Kenya walipokea Tanzanite yenye thamani ya dola milioni 100, huku India ikipata dola milioni 300 za madini hayo.

Amesema kuwa kutokana na hali hiyo, serikali imeamua kujenga jengo la kuuzia madini hayo na litakapokamilika hakuna mfanyabiashara atakayeruhusiwa kuuza madini hayo nje ya jengo hilo kama ilivyo sasa.

Sammisago.com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku

Rombo Imetajwa Wilaya Inayongoza Kwa Ukatilia Wa Kijinsia Na Watoto Nchini Tanzania

 
Wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro nchini Tanzania inaogoza kwa ukatilia wa kijinsia na watoto huku ikibainika kuwa watoto ndio wamekuwa wahanga wa kubwa katika jamii.

Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Dawati la Jinsia na Watoto Mkoa Kilimanjaro Bi. Grace Limo wakati wa Uzinduzi wa siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia Duniani.

Bi. Grace amesema watoto wengi katika wilaya hiyo wanathirika kwa kutumikishwa katika shughuli za kibiashara na kwa kuachishwa shule huku wengine wakilelea na wazazi ambao wamejikita kwenye ulevi wa Kupindukia.

Uliikosa picha aliyoiweka Rais Kikwete twitter baada ya kukutana na Wapinzani na alichoandika?

Screen Shot 2014-09-12 at 2.02.33 AMBaada ya kukutana na viongozi wa vyamba mbalimbali vya upinzani Tanzania na kuzungumzia ishu ya bunge la katiba, iliamuliwa kwamba katiba ya zamani ndio itakayotumika kwenye uchaguzi mkuu ujao ila itafanyiwa marekebisho.
Kwenye ukurasa wake wa twitter President JK ambae alikua hajaandika chochote toka Aug 6 2014, aliweka hiyo picha hapo juu ikimuonyesha kwenye mkutano na viongozi hao na kuandika >> 
mabovu story.com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia >> Instagram , Twitter Na Facebook

News kutoka bodi ya mikopo Tanzania kwenda kwa Wanafunzi elimu ya juu.

Screen Shot 2014-08-20 at 8.11.41 AM 

Bodi ya mikopo ya Wanafunzi wa elimu ya juu Tanzania imeanzisha mpango mpya kwa ajili ya kupambana na uhaba wa Walimu wa masomo ya Sayansi na hesabu wa shule za msingi kwa kutoa mikopo kwa Wanafunzi wa ngazi ya stashahada (Diploma) watakaochaguliwa.

Ni mpango maalum unaoanza mwaka huu wa masomo 2014/2015 ambapo Mkurugenzi msaidizi wa habari, elimu na mawasiliano Cosmas Mwaisobwa amesema huu mpango utasaidia Wanafunzi zaidi ya elfu tano.

Maneno yake mengine ni haya >>> Serikali inafanya jitihada za kuziba pengo la uhaba wa Walimu wa hayo masomo kwenye shule za msingi na sasa hii imekua programu maalum itakayoendeshwa na chuo kikuu cha Dodoma mwaka huu
Pamoja na hayo bodi imekiri kuchelewesha kuwalipa fedha za vitendo wanafunzi wa vyuo vitano mwezi July 2014 kutokana na changamoto ya uhaba wa fedha lakini ahadi ni kuwa malipo hayo yatafanywa hivi karibuni.
Wanachuo hao ni kutoka Tumaini Makumira wanafunzi 1715, Stephano Moshi 1191, IFM 2578, Mt. Agustino 2639, Teophilo Kisanji Mbeya ni Wanachuo 1823 ambapo jumla ya Wanachuo hao inafikia 9946.
Kwenye sentensi nyingine ni kwamba Wanafunzi ambao wamecheleweshwa kulipwa hela za mafunzo kwa vitendo, mpaka wiki ijayo malipo yao yatakua tayari.

Kauli ya Jeshi la Polisi Tanzania juu ya viungo vya binadamu vilivyopatikana July 21.

polisiKama mfuatiliaji wa mitandao ya kijamii kuanzia usiku wa July 21 kulisambaa taarifa na picha zinazoonyesha viungo mbalimbali vya binadamu ambavyo vilitupwa katika daraja la Mpiji.
Kamanda wa Polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni ameongea na Power Breakfast ya Clouds Fm na kusema>>’Kweli tumekwenda tumevikuta viungo mbalimbali vya binadamu kama mikono,miguu,vichwa na viungo vingine’
‘Lakini vipo ndani ya mifuko ya sulphet na iko mifuko kama 80 hivi lakini tumechukua viungo hivyo na kuvipeleka hospital ya Muhimbili kwanza kuhifadhi na kwa ajili ya uchunguzi Mpaka sasa hakuna mtu aliyekamatwa’
Bonyeza play kumsikiliza kamanda wa polisi mkoa wa kipolisi kinondoni Kamilius Wambura

Matokeo ya Kidato cha 6 kama hujafanikiwa kuyaona yapo hapa.

exam-results (1)Baraza la mitihani la taifa leo limetangaza matokeo ya Watahiniwa wa Kidato cha 6,kama ulifanya mtihani wa kidato cha 6 basi waweza cheki matokeo hayo hapa hapa kwa mtu wako wa nguvu.
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
ACSEE 2014 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIES

  P0101 AZANIA CENTRE   P0104 BWIRU BOYS CENTRE   P0110 ILBORU CENTRE
  P0112 IYUNGA CENTRE   P0116 KANTALAMBA CENTRE   P0119 KIBAHA CENTRE
  P0123 KWIRO CENTRE   P0129 MARA CENTRE   P0132 MILAMBO CENTRE
  P0133 MINAKI CENTRE   P0134 MOSHI CENTRE   P0136 MUSOMA CENTRE
  P0140 MZUMBE CENTRE   P0143 NJOMBE CENTRE   P0144 NSUMBA CENTRE
  P0145 NYAKATO CENTRE   P0147 PUGU CENTRE   P0150 SAME CENTRE
  P0151 SENGEREMA CENTRE   P0152 SHINYANGA CENTRE   P0156 TANGA TECH. CENTRE
  P0158 TOSAMAGANGA CENTRE   P0167 KIDUGALA SEMINARY CENTRE   P0184 AGAPE LUTH JUNIOR SEMINARY CENTRE
  P0203 IRINGA GIRLS CENTRE   P0209 KOROGWE CENTRE   P0211 LOLEZA CENTRE
  P0218 RUGAMBWA CENTRE   P0219 SONGEA GIRLS CENTRE   P0220 TABORA GIRLS CENTRE
  P0228 MPANDA GIRLS CENTRE   P0301 AIRWING J.W.T.Z. CENTRE   P0302 ARUSHA CENTRE
  P0303 ARUSHA-MERU CENTRE   P0305 BULUBA CENTRE   P0306 DODOMA CENTRE
  P0309 FIDEL CASTRO CENTRE   P0313 IKIZU CENTRE   P0316 KIBASILA SEC.SCHOOL CENTRE
  P0320 KIGOMA CENTRE   P0321 KINONDONI CENTRE   P0324 LINDI CENTRE
  P0326 LUMUMBA CENTRE   P0327 MINJA TECH. CENTRE   P0328 MAWENZI CENTRE
  P0329 MAKUMIRA CENTRE   P0330 MBEYA CENTRE   P0333 MWANZA CENTRE
  P0334 MWENGE CENTRE   P0336 HUDUMA J.W.T.Z. CENTRE   P0338 NDANDA CENTRE
  P0341 SANGU CENTRE   P0345 USAGARA CENTRE   P0351 BAGAMOYO CENTRE
  P0352 TARIME CENTRE   P0353 PARANE CENTRE   P0359 KIGURUNYEMBE CENTRE
  P0360 KISHOJU CENTRE   P0361 SINGE CENTRE   P0364 KARATU CENTRE
  P0368 IMBORU CENTRE   P0370 IFAKARA CENTRE   P0377 LUGALO J.W.T.Z. CENTRE
  P0379 MGULANI J.K.T. CENTRE   P0380 UCHAMA CENTRE   P0381 UTAANI CENTRE
  P0383 BEN BELLA CENTRE   P0385 UJIJI   P0386 GEITA CENTRE
  P0387 KARAGWE CENTRE   P0389 SHAURITANGA CENTRE   P0391 HAILE SELASSIE CENTRE
  P0400 SHAMIANI CENTRE   P0402 MKWAJUNI CENTRE   P0404 TUNDURU CENTRE
  P0413 KIBITI CENTRE   P0418 LUTENGANO CENTRE   P0427 MAKAMBAKO CENTRE
  P0431 MTWANGO CENTRE   P0432 JABAL-HIRA CENTRE   P0438 MASJID QUBAH MUSLIM SEM. CENTRE
  P0440 SONGEA TEACHERS’ COLLEGE CENTRE   P0443 META CENTRE   P0445 MWEMBETOGWA CENTRE
  P0457 IGAWILO CENTRE   P0458 KASULU TEACHERS’ COLLEGE CENTRE   P0461 JOHN PAUL II KAHAMA CENTRE
  P0465 JAMHURI CENTRE   P0467 NYUKI J.W.T.Z. CENTRE   P0476 MWANGAZA CENTRE
  P0493 AL-HARAMAIN CENTRE   P0501 UWELENI CENTRE   P0516 MOMBO CENTRE
  P0531 RUAHA CENTRE   P0538 VWAWA   P0546 PAMBA (I A E) CENTRE
  P0549 LUGOBA CENTRE   P0554 NGUDU CENTRE   P0560 KASULU CENTRE
  P0563 TABORA TEACHERS’ COLLEGE CENTRE   P0566 BUTIMBA TEACHERS’ COLLEGE CENTRE   P0586 KAISHO CENTRE
  P0611 KABANGA CENTRE   P0620 TEGETA CENTRE   P0640 MBALIZI CENTRE
  P0641 MEATU CENTRE   P0652 POMERINI CENTRE   P0660 MOROGORO TEACHERS’ COLLEGE CENTRE
  P0673 NANGWA CENTRE   P0681 IVUMWE CENTRE   P0685 NAMABENGO CENTRE
  P0686 CHATO CENTRE   P0688 MSAKILA   P0706 KALANGALALA CENTRE
  P0710 BINZA CENTRE   P0716 MALECELA CENTRE   P0725 NEWMAN
  P0738 RIDHWAA SEMINARY CENTRE   P0770 SUMVE HIGH SCHOOL CENTRE   P0796 MCHANGA MDOGO CENTRE
  P0797 BUNDA TEACHER’S COLLEGE CENTRE   P0798 KOROGWE TEACHERS COLLEGE CENTRE   P0832 KIPONDA CENTRE
  P0841 HUMURA CENTRE   P0904 KONGWA CENTRE   P0936 KALIUA CENTRE
  P0938 MBEZI BEACH CENTRE   P0947 DR OLSEN CENTRE   P0967 MLOLE CENTRE
  P1043 TUKUYU CENTRE   P1072 KAMENE CENTRE   P1077 OCEAN CENTRE
  P1119 ZANZIBAR COMMERCIAL   P1141 SWILLA CENTRE   P1156 TEMEKE TEACHER’S RESOURCE CENTRE
  P1246 MIDLAND CENTRE   P1278 MBEZI HIGH SCHOOL CENTER   P1291 PEMBA ISLAMIC COLLEGE CENTRE
  P1298 KIEMBESAMAKI SEC SCHOOL CENTRE   P1377 NATIONAL CORRESPONDENCE INSTITUTE   P1378 KLERRUU TEACHERS COLLEGE CENTRE
  P1379 MTWARA TEACHERS COLLEGE CENTRE   P1383 MZINGA CENTRE   P1475 PERFECT-VISION SEC SCHOOL CENTRE
  P1495 GENESIS HIGH SCHOOL CENTRE   P1556 DUNGA   P1584 KIWANJA CENTRE
  P1587 MUFINDI T.R.C. CENTRE   P1600 BISHOP DURNING CENTRE   P1612 ARUSHA SCHOOL CENTRE
  P1740 BISHOP MPANGO   P1817 SENGEREMA T.R.C. CENTRE   P1918 AL-FALAAH MUSLIM CENTRE
  P2211 MWILAMVYA CENTRE   P2341 MLIMA MBEYA HIGH SCHOOL   P2454 SPLENDID SECRETARIAL COLLEGE CENTRE
  P2500 CHUO CHA UFUNDI – VETA CENTRE   P2517 ALFA CENTRE   P2673 RAIDA HIGH SCHOOL CENTRE
  P3000 MAZIZINI ISLAMIC CENTRE   P3240 LUDEWA TRC CENTRE   P3601 ILASI CENTRE
  P3634 MUGUMU CENTRE   P3722 FPCT SHINYANGA VIJANA CENTRE   P3733 MAHENJE CENTRE
  P4002 MWANAKWEREKWE C CENTRE   P4007 AGUSTIVO CENTRE   P4036 EBONITE TC CENTRE
  P4236 DINOBB CENTRE   P4348 T.E.W.W TABORA CENTRE   P4351 GENDA CENTRE
  P4624 PREMIER GIRLS CENTRE   S0101 AZANIA   S0103 BIHAWANA
  S0104 BWIRU BOYS   S0106 DUNG’UNYI SEMINARY   S0107 LUTHERAN JUNIOR SEMINARY
  S0108 IFUNDA TECHNICAL   S0109 IHUNGO   S0110 ILBORU
  S0111 ITAGA SEMINARY   S0112 IYUNGA TECHNICAL   S0113 MAFINGA SEMINARY
  S0115 KAHORORO   S0116 KANTALAMBA   S0117 KASITA SEMINARY
  S0118 KATOKE SEMINARY   S0119 KIBAHA   S0120 KIGONSERA
  S0121 ST. JAMES SEMINARY   S0123 KWIRO   S0125 LYAMUNGO
  S0128 MALANGALI   S0129 MARA   S0130 MAUA SEMINARY
  S0132 MILAMBO   S0133 MINAKI   S0134 MOSHI
  S0135 MOSHI TECHNICAL   S0136 MUSOMA   S0138 MPWAPWA
  S0139 MTWARA TECHNICAL   S0140 MZUMBE   S0142 GALANOS
  S0143 NJOMBE   S0144 NSUMBA   S0145 NYAKATO
  S0146 NYEGEZI SEMINARY   S0147 PUGU   S0148 RUBYA SEMINARY
  S0149 RUNGWE   S0150 SAME   S0151 SENGEREMA
  S0152 SHINYANGA   S0153 SONGEA BOYS   S0154 ST.PETER’S SEMINARY
  S0155 TABORA BOYS   S0156 TANGA TECHNICAL   S0158 TOSAMAGANGA
  S0160 UMBWE   S0164 USA SEMINARY   S0165 URU SEMINARY
  S0167 KIDUGALA LUTHERAN SEMINARY   S0168 SANU SEMINARY   S0174 CONSOLATA SEMINARY
  S0175 SALESIAN SEMINARY   S0178 MANOW LUTHERAN JUNIOR SEMINARY   S0179 ST.MARY’S SEMINARY MBALIZI
  S0181 KISARAWE LUTHERAN JUNIOR SEMINARY   S0182 AL-FAROUQ SEMINARY   S0184 AGAPE LUTHERAN J SEMINARY
  S0188 KIRINJIKO ISLAMIC SEMINARY   S0189 FEZA BOYS’   S0190 ST.JOSEPH-KILOCHA SEMINARY
  S0198 AILANGA LUTHERAN JUNIOR SEMINARY   S0201 ASHIRA   S0202 BWIRU GIRLS
  S0203 IRINGA GIRLS   S0204 JANGWANI   S0205 KIBOSHO GIRLS
  S0206 KILAKALA   S0207 KIRAENI GIRLS   S0209 KOROGWE GIRLS
  S0210 BIGWA SISTERS SEMINARY   S0211 LOLEZA   S0212 MACHAME GIRLS
  S0213 MASASI GIRLS   S0214 MSALATO   S0215 MTWARA GIRLS
  S0216 NGANZA   S0217 PERAMIHO GIRLS   S0218 RUGAMBWA
  S0219 SONGEA GIRLS   S0220 TABORA GIRLS   S0221 WERUWERU
  S0222 ZANAKI   S0223 MASAMA GIRLS   S0224 KIFUNGILO GIRLS
  S0227 MASWA GIRLS   S0228 MPANDA GIRLS   S0229 KONDOA GIRLS
  S0230 KIBONDO   S0233 ST.MARY’S MAZINDE JUU   S0234 ST.LUISE MBINGA GIRLS
  S0240 ST.JOSEPH GIRLS SEMINARY   S0245 PALLOTI GIRLS   S0246 MAASAE GIRLS LUTHERAN SCH
  S0247 BONICONSILI MABAMBA GIRLS SEC.SCHOOL   S0248 MARIAN GIRLS   S0249 LORETO GIRLS
  S0252 AL-KHEIR ISLAMIC GIRLS SEMINARY   S0255 ST.CHRISTINA GIRL’S SCHOOL   S0256 HURUMA GIRLS
  S0263 VISITATION GIRLS’   S0264 BARBRO-JOHANSSON   S0266 REGINAMUNDI GIRLS’
  S0271 MANYUNYU   S0272 AL-IHSAN GIRLS   S0276 IFUNDA GIRLS
  S0281 CHIEF IHUNYO SEC SCHOOL   S0298 FEZA GIRLS’   S0299 MKUGWA
  S0302 ARUSHA   S0303 ARUSHA-MERU   S0304 BUKOBA
  S0305 BULUBA   S0306 DODOMA   S0308 ENABOISHU
  S0309 FIDEL CASTRO   S0310 FOREST HILL   S0312 HIGHLANDS
  S0313 IKIZU   S0314 KAZIMA   S0316 KIBASILA
  S0320 KIGOMA   S0322 KOLILA   S0323 LAKE
  S0324 LINDI   S0325 LUGALO   S0326 LUMUMBA
  S0328 MAWENZI   S0329 MAKUMIRA   S0330 MBEYA
  S0332 MOROGORO   S0333 MWANZA   S0334 MWENGE
  S0335 MZIZIMA   S0338 NDANDA   S0341 SANGU
  S0342 SHAABAN ROBERT   S0345 USAGARA   S0346 UYUI
  S0347 TAMBAZA   S0348 TUMAINI   S0351 BAGAMOYO
  S0352 TARIME   S0353 PARANE   S0355 LOMWE
  S0356 VUNJO   S0359 KIGURUNYEMBE   S0360 KISHOJU
  S0361 SINGE   S0364 KARATU   S0367 KILOSA
  S0369 RUVU   S0370 IFAKARA   S0380 UCHAMA
  S0381 UTAANI   S0383 BEN BELLA   S0385 UJIJI
  S0386 GEITA   S0387 KARAGWE   S0388 MARANGU
  S0389 SHAURITANGA   S0391 HAILE SELASSIE   S0392 VIKOKOTONI
  S0397 RULENGE   S0400 SHAMIANI   S0402 MKWAJUNI
  S0404 TUNDURU   S0405 BIHARAMULO   S0409 MORINGE SOKOINE
  S0413 KIBITI   S0417 MWAKALELI   S0418 LUTENGANO
  S0419 CHOME   S0427 MAKAMBAKO   S0430 UWEMBA
  S0431 MTWANGO   S0432 JABAL-HIRA MUSLIM JUNIOR SEMINARY   S0434 NDEMBELA
  S0437 AL-MUNTAZIR ISLAMIC SEMINARY   S0438 MASJID QUBAH MUSLIM SEMINARY   S0439 BUPANDAGILA
  S0443 META   S0444 ITAMBA   S0445 MWEMBETOGWA
  S0448 SADANI   S0449 J.J.MUNGAI   S0454 ST.JOSEPH NGARENARO
  S0457 IGAWILO   S0461 JOHN PAUL II KAHAMA   S0465 JAMHURI
  S0467 NYUKI   S0471 MBOZI   S0473 KANYIGO
  S0483 SAME SEMINARY   S0485 MAJENGO   S0488 RUTABO
  S0489 SUJI   S0491 KILOMENI   S0493 AL-HARAMAIN ISLAMIC SEMINARY
  S0496 JITEGEMEE   S0501 UWELENI   S0506 UNGWASI
  S0515 ILULA   S0516 MOMBO   S0526 MRINGA
  S0527 ULAYASI   S0531 RUAHA   S0534 ST.ANTHONY’S
  S0538 VWAWA   S0539 MAGU   S0540 MAPOSENI
  S0544 MKUU   S0546 PAMBA   S0548 SHAMBALAI
  S0549 LUGOBA   S0554 NGUDU   S0558 MWANGA
  S0560 KASULU   S0578 TAQWA   S0580 IGOWOLE
  S0581 ILEJE   S0584 LWANDAI   S0586 KAISHO
  S0590 WILIMA   S0596 LIWALE DAY   S0607 LULUMBA
  S0609 MATAI   S0610 NKASI   S0611 KABANGA
  S0612 KAGANGO   S0614 NYERERE   S0617 LUSANGA
  S0620 TEGETA   S0622 KUNDUCHI GIRLS ISLAMIC HIGH SCHOOL   S0629 EDMUND-RICE-SINON
  S0631 UMOJA   S0632 BONDENI   S0635 MSUFINI
  S0640 MBALIZI   S0641 MEATU   S0643 DAREDA
  S0645 VITUKA   S0647 NGARENANYUKI   S0652 POMERINI
  S0653 MWAKAVUTA   S0661 ISENYE   S0663 SANGITI
  S0665 MWEMBENI   S0667 NYAISHOZI   S0668 DAKAWA HIGH SCHOOL
  S0671 UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL   S0673 NANGWA   S0681 IVUMWE
  S0685 NAMABENGO   S0686 CHATO   S0688 MSAKILA
  S0692 ROSMINI   S0697 KIGWE   S0698 ECKERNFORDE
  S0706 KALANGALALA   S0710 BINZA   S0712 BARIADI
  S0713 IGUNGA   S0715 ILONGERO   S0716 MALECELA
  S0725 NEWMAN   S0726 MBEKENYERA   S0729 MSOLWA
  S0731 MAKONGO   S0738 RIDHWAA SEMINARY   S0740 ALI HASSAN MWINYI ISL.
  S0741 ITENDE   S0748 KAWAWA   S0751 RUHUWIKO
  S0752 RUNZEWE   S0754 URAMBO DAY   S0757 KYELA
  S0769 MALAGARASI   S0770 SUMVE   S0778 SONGE
  S0782 MWIKA   S0784 AIRWING   S0787 MSANGENI
  S0796 MCHANGAMDOGO   S0800 LOYOLA   S0804 MVUMI
  S0811 KIFARU   S0812 MAHIWA   S0818 TARAKEA
  S0823 THAQAAFA   S0825 MUDIO ISLAMIC SEMINARY   S0831 NANGWANDA GIRLS
  S0832 KIPONDA   S0841 HUMURA   S0851 USANGI DAY
  S0853 KIZWITE   S0857 LONGIDO   S0867 PANDAHILL
  S0870 KILANGALANGA   S0883 DONBOSCO-DIDIA   S0884 MAMBWE
  S0890 IWALANJE   S0896 KIZUKA   S0901 KISIWANI
  S0904 KONGWA   S0906 VUDOI   S0913 USONGWE
  S0922 MWINYI   S0936 KALIUA   S0938 MBEZI BEACH
  S0947 DR. OLSEN   S0949 IRKISONGO   S0960 BENJAMIN WILLIAM MKAPA HIGH SCHOOL
  S0989 KIBARA   S0995 SOS HERMANN GMEINER SCHOOL   S1008 ST.MAURUS CHEMCHEMI
  S1009 BABATI DAY   S1011 CHANG’OMBE   S1032 ITIGI
  S1033 AMANI ABEID KARUME   S1043 TUKUYU   S1051 MKOLANI
  S1061 MAKIBA   S1071 ST.MATTHEW’S   S1072 KAMENE
  S1077 OCEAN   S1093 ALDERSGATE   S1098 MAJI YA CHAI
  S1107 MWAMASHIMBA   S1119 ZANZIBAR COMMERCIAL   S1141 SWILLA
  S1144 ISIMILA   S1148 MADIBIRA   S1157 IWAWA
  S1174 COASTAL   S1183 SANYA JUU   S1186 MAKITA
  S1187 ST.MARY GORETI   S1198 TANZANIA ADVENTIST   S1199 MADABA
  S1201 LUFILYO   S1202 MTERA   S1220 MSAMALA
  S1246 MIDLANDS   S1261 MERRIWA   S1262 MATEMA BEACH
  S1268 KISIMIRI   S1270 NYARUBANDA   S1272 KISARIKA
  S1278 MBEZI   S1284 NORTHERN HIGHLANDS   S1285 FLORIAN
  S1291 PEMBA ISLAMIC COLLEGE   S1298 KIEMBESAMAKI   S1340 LWANGWA
  S1343 ANNE MARIE   S1344 MWALIMU J K NYERERE   S1349 NYAKAHURA
  S1375 NEW ERA   S1383 MZINGA   S1392 NATTA
  S1430 KIUMA   S1450 EFATHA SEMINARY   S1454 LONDONI
  S1475 PERFECT-VISION   S1495 GENESIS HIGH SCHOOL   S1522 SCOLASTICA
  S1523 AGAPE MBAGALA   S1549 ENGUTOTO   S1556 DUNGA
  S1578 CHANGARAWE   S1584 KIWANJA   S1596 NYERERE HIGH SCHOOL-MIGOLI
  S1599 BAOBAB   S1600 BISHOP DURNING HIGH SCHOOL   S1608 NTUNDURU
  S1609 RORYA   S1645 LUBALA   S1648 SUMBAWANGA
  S1665 NYASAKA ISLAMIC   S1688 BAHARI BEACH   S1689 PEACE
  S1757 BENDEL MEMORIAL   S1766 CHUKWANI   S1770 IMAGE
  S1822 ANNAGAMAZO   S1888 PATRICK MISSION   S1918 AL-FALAAH MUSLIM
  S1939 MAWENI   S2153 AQUINAS   S2178 GOLDEN RIDGE
  S2211 MWILAMVYA   S2213 USEVYA   S2295 MAIRIVA
  S2315 KANDOTO SAYANSI   S2326 MANGUANJUKI   S2341 MLIMA MBEYA HIGH SCHOOL
  S2354 EAGLES   S2383 OSWARD MANG’OMBE S S   S2426 CHAMAZI ISLAMIC SEMINARY
  S2427 ISONGOLE   S2433 GANAKO   S2499 TUSIIME
  S2549 ALPHA   S2673 RAIDA   S2804 MUSOMA UTALII S S
  S3000 MAZIZINI   S3241 YOSIAH GIRLS’ HIGH SCHOOL   S3503 MWENDAKULIMA
  S3536 LILIAN KIBO   S3601 ILASI SEC SCHOOL   S3646 DULUTI
  S3661 BEROYA   S3733 MAHENJE SEC SCHOOL   S3804 MUHEZA HIGH SCHOOL
  S3811 OVERLAND   S3881 AHMES   S3885 WENDA HIGH SCHOOL
  S3886 SIMBA WA YUDA   S3905 UWATA   S3914 ALFAGEMS
  S4002 MWANAKWEREKWE ‘C’   S4007 AGUSTIVO   S4016 ISALU EXCEL HIGH SCHOOL
  S4039 ST. THERESA OF THE CHILD JESUS   S4096 UMBUYA   S4104 LORD BADEN POWELL MEMORIAL
  S4163 KIJOTA HULL HIGH SCHOOL   S4193 HARRISON UWATA   S4236 DINOBB HIGH SCHOOL
  S4340 GIRANGO   S4351 GENDA   S4419 LUKOLE
  S4535 JIKOMBOE   S4567 SACRED HEART   S4586 ZACHARIA
  S4605 MAGUFULI   S4624 PREMIER GIRLS   S4646 PAMOJA
  S4661 KAJUMULO ALEXANDER GIRLS   S4692 ST.JOSEPH’S CATHEDRAL   S4746 CORNERSTONE LEADERSHIP
  S4797 FARAJA SIHA SEMINARY   S4803 NDYUDA   S4862 GOMBE HIGH SCHOOL
  S4922 WATU   S4929 TINDE GIRLS HIGH SCHOOL   S5114 SUZA
Kama hujaona vizuri waweza kutumia link hii kuyatazama www.necta.go.tz/matokeo2014/ACSEE.htm

Na hii ni ya Benki kuu ya Tanzania tena baada ya kutangaza kuleta ile sarafu ya 500.

Screen Shot 2014-07-11 at 9.42.15 AMBaada ya kuripotiwa kuwepo kwa mabadiliko ya noti ya sh. 500 ambayo itaacha kutumika siku chache zijazo nchini Tanzania na mbadala wake kuwa sarafu ya shilingi 500, Watanzania mbalimbali wamekuwa na wasiwasi na taarifa hiyo pamoja pia na kuamini uchumi wa nchi unaanguka.
millardayo.com imepata nafasi ya kuongea na mchumi wa benki kuu kwenye kurugenzi ya utafiti na sera za uchumi Lusajo Mwankemwa ambae amejibu hizo headlines kwa kusema hiki kifuatacho.

‘Kwa niaba ya benki kuu ya Tanzania amewatoa hofu kuhusu haya mabadiliko na kusema haijaja kutokana na ukuaji na ushukaji wa uchumi wa nchi ya Tanzania, yaani kuanza kutumika kwa hii sarafu hakuhusiani na Tanzania kushuka kiuchumi’

Screen Shot 2014-07-11 at 9.44.35 AM‘Noti ya 500 imeonekana inachakaa sana ndani ya miezi 6 kutokana na kuwa na mzunguko mkubwa ikilinganishwa na noti nyingine na haipitii ule mfumo wa kawaida wa kibenki kurudi benki kuu kwa ajili ya kuibadilisha, tulitarajia Mwananchi anapokwenda bank kupeleka pesa zake basi na 500 iwe miongioni mwa hizo pesa ili tuzibadilishe kwa kutoa noti mpya ambazo tunazo benki kuu lakini haijawa hivyo’
‘Tumegundua Mwananchi anaitumia ile mia tano huku chini ambapo pesa anazopeleka benki ni shilingi elfu mbili, elfu 5 na elfu 10 lakini 500 anabakiza kwenye droo kwa ajili ya matumizi madogomadogo, matokeo yake inatumika huku chini kwenye mikono ya watu na haipati kurudi kwenye mfumo wa kibenki kubadilishwa ndio maana tumeona ni busara kuiondoa na kuleta sarafu’
‘Kiuchumi hili halina muingiliano wa moja kwa moja, itambulike kwamba kinachofanywa ni kuondoa noti ya 500 yenye thamani ya 500 na kuleta sarafu yenye thamani ileile ya shilingi 500, kwahiyo thamani iko palepale’

Dar city must be better organised ahead of 2025

That Dar es Salaam city is growing fast is clear to all; what might have been unknown to many is that it is actually the fastest growing city in Africa! That is, going by the African Development Bank (AfDB) latest report entitled Tracking Africa’s Progress.

Its population, now standing at 4.0 million, will rise to 6.2 million in the next 10 years, says the report released earlier this week.

Urban growth is a global phenomenon, with projections showing that by 2030, six out of every 10 people will live in a city, and by 2050, this proportion will increase to seven out of 10 people. Currently, around half of all urbanites live in cities hosting between 100,000 – 500,000 people.

Urban growth in least developed countries is faster than in developed ones since in the former, there are just too many people who have to abandon the rural areas to escape poverty. It means one way Tanzania can lessen rural-urban migration would be to fight poverty in villages. That Dar es Salaam is growing faster than even Nairobi – if we are to go by the AfDB report – should be a matter of concern rather than celebration, for it means we have before us several debilitating challenges that come with rapid urbanisation.

Despite its commendable road network that includes flyovers that are the envy of Africa, Nairobi has to contend with maddening traffic jams. Our city fathers must work to forestall urban logistical crises afflicting metropolises such as Lagos and Nairobi.

Indeed, poor urban planning, lack of adherence to the basics of urban planning and development has meant that 50 years after independence, over 70 per cent of Dar es Salaam residents continue to live in virtual slums!

In order to cope with the inevitable fast population growth, there is a need for concerted efforts to get the city more organised ahead of 2025.

TRAFIKI AFA GHAFLA AKIWA NDANI YA DALADALA ALILOLIKAMATA


Moshi. Ofisa wa polisi mwenye cheo cha Koplo, Wilson Mwakipesile wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Kilimanjaro amefariki dunia ghafla akiwa ndani ya daladala alilokuwa amelikamata.


Hata hivyo, haikujulikana mara moja iwapo trafiki huyo alifariki dunia akiwa njiani kulipeleka gari hilo kituo cha polisi, alifariki muda mfupi baada ya kufika kituoni au wakati anapelekwa hospitali.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Robert Boaz alisema polisi huyo alikufa ghafla akiwa kazini lakini alikataa kuingia kwa undani wa tukio hilo lilitokea Ijumaa kati ya saa 5:00 asubuhi na saa 6:00 mchana, baada ya trafiki huyo kukamata daladala linalofanya kazi zake kati ya Kiborloni na katikati ya mji.

Mmoja wa mashuhuda alisema “Baada ya kuikamata hiyo Hiace (Toyota) pale Kiborloni aliingia kwenye hiyo gari na kukaa kiti cha mbele pembeni ya dereva na kumwamuru kulipeleka kituoni.

“Wakati wakiwa njiani kuelekea kituoni ghafla yule trafiki akawa haongei na akawa anamwegemea dereva… hiyo hali iliendelea hadi walipofika kituoni ndipo dereva akawaeleza trafiki wenzake.” Mwili wa polisi huyo ulisafirishwa juzi kwenda Mbeya kwa mazishi.

Chanzo:MWananchi

MASKINI:MBWA WA UBALOZI WAMLA MTOTO!


NI vigumu kuamini kilichotokea lakini ndivyo ilivyokuwa! Mtoto Christian Alex (6) ameuawa kikatili kwa kuliwa na mbwa wanaodaiwa kuwa ni wa Ubalozi wa Qatar nchini  Tanzania unaoongozwa na Balozi Jassim Mohammed Mubarak Daruwesh.
Tukio hilo la kusikitisha lilijiri Machi 26, mwaka huu Jangwani Beach, Kunduchi jijini Dar es Salaam ambapo mtoto huyo alishambuliwa na mbwa wa kigogo huyo alipokuwa na baba yake jirani na nyumba hiyo ya kupanga yenye nyumba nyingine mbalimbali (apartment).
MAELEZO KWA UFUPI
Inaelezwa kuwa, baba wa marehemu pia anaishi kwenye moja ya nyumba hizo akifanya kazi ya kutunza mazingira endapo mpangaji mmoja anahama. Wote wanaoishi humo wanatumia mageti mawili tu, kuingia na kutoka.
Mama wa mtoto Christian Alex akiwa amezimia wakati mwili wa mwanae unazikwa
BABA WA MAREHEMU ASIMULIA
Akizungumza na gazeti hili kwa majonzi  kwenye msiba uliogubikwa na vilio na simanzi, baba wa mtoto huyo aliyejitambulisha kwa jina la Alex, alisema siku ya tukio yeye alikuwa akitoka nje ya nyumba anayoishi katika ‘apartment’ hizo, lakini  ghafla nyuma yake alisikia kelele za mwanaye.
“Kwa kawaida ili utoke lazima uwe makini, kwanza ujue mbwa wako wapi? Nilipotoka nikiwa nawaangalia walipo, mara nikasikia kelele mtoto wangu analia, nilirudi haraka, nikamkuta mwanangu anashambuliwa na mbwa watatu huku tayari akiwa na majeraha makubwa.
Mazishi ya Mtoto Christian Alex (6).
“Ilibidi nimng’ang’anie mtoto ili kumwokoa ambapo pia niliokota jiwe kutaka kuwapiga, wakataka kuondoka lakini wakarudi tena na kumvamia.
“Hapo ndipo ilikuwa shughuli kwani walimfumua utumbo, wakazinyofoa sehemu zake za siri na kuziingiza midomoni huku kisogoni wakimtia kucha kali mpaka kumtoa ngozi.
“Wakati kitendo hicho kinaendelea huku nikishuhudia kwa macho, yule balozi akawa anaingia ndani, akawaamuru mbwa wake waache, walitii amri hiyo lakini hali ya mtoto wangu ilikuwa mbaya sana, akawa hasemi wala hapigi kelele tena za kuomba msaada,” alisema baba huyo huku akimwaga machozi. Inauma sana!
Mtoto Christian Alex  baada ya kujeruhiwa na mbwa wa ubalozi wa Qatar.
Akaongeza: “Mpaka sasa siamini kilichotokea, nashindwa hata niongee nini, ninachoweza kusema ni kwamba mwanangu Christian nilikuwa nampenda sana kama vile ninavyompenda mwanangu mwingine, Sabina.
“Nahisi ukiwa baada ya kupoteza mtoto wa kiume niliyekuwa namtegemea. Itanichukua muda mrefu sana kusahau kile nilichokiona kwa macho yangu. Nimeshuhudia mwanangu akishambuliwa na wala sikusimuliwa na mtu.”
Mazishi yakiendelea.
KUMBE TAHADHARI ILITOLEWA
Baba anaendelea kusimuliza: “Kinachoniuma zaidi ni kwamba, nilishatoa angalizo tangu mwanzoni wakati huyu bwana anahamia kwenye nyumba hii. Nilimwambia mwenye nyumba  amwambie huyu awajengee banda  mbwa wake lakini wakapuuzia.”
ADAKTARI WALIVYOSEMA
Baadhi ya majirani walifika eneo la tukio na kukuta sakata hilo limefikia hatua ya mbwa kutii amri ya bosi wao na kurudi kwenye maskani yao.
Walimchukua mtoto huyo na kumkimbiza kwenye Hospitali ya IMTU iliyopo Mbezi, Dar  ambapo madaktari walisema alishafariki dunia kitambo.
VILIO VYATAWALA 
Baada ya kuzinyaka taarifa hizo, haraka mwandishi wetu alifika eneo la tukio muda mfupi baada ya mtoto huyo kupelekwa hospitali na kushuhudia vilio vikitawala kwa kila jirani aliyepata taarifa za kifo hicho cha kusikitisha.
MAJIRANI WASIMULIA
Wakionesha jinsi walivyoumizwa na tukio hilo, baadhi ya majirani walisimulia jinsi mbwa hao wanavyowatishia amani katika nyumba hiyo ambapo tangu kigogo huyo ahamie ndani ya nyumba hiyo wamekuwa watu wa kujifungia siku nzima wakihofia mbwa hao wakali.
“Jamani huyu mtoto kafa kifo kibaya sana, mbaya zaidi mbwa hawa wamekuwa tishio kiasi cha watu kushindwa kufanya shughuli zao za kila siku.
“Mbwa huwa hawafungiwi kwenye banda, labda ingekuwa hivyo wasingefanya hivi,” alisema jirani mmoja huku akilia bila kikomo.
POLISI WALIVYOFANYA
Paparazi wetu alipojaribu kuingia ndani na kwenda kuongea na balozi huyo, askari waliodaiwa ni wa Kituo cha Polisi Kawe jijini Dar walitia ngumu huku ikidaiwa kuwa maelezo waliyoyaandika ni mmiliki wa mbwa kuwa mzembe kwa kuwaachia mbwa kudhuru binadamu.
MAMA MZAZI AZIMIA
Maria Mvile, mama mzazi wa marehemu Christian kwa sasa yupo katika hali mbaya tangu mkasa wa kushambuliwa mwanaye na mbwa hao utokee ambapo amekuwa akizimia mara kwa mara.
Mwandishi wetu alimshuhudia mama huyo akishindwa kuweka shada la maua katika kaburi la mwanaye kwa kuanguka na kuzimia.
MAZIKO
Safari ya mwisho ya mtoto Christian ilifanyika kwenye Makaburi ya Mburahati, Dar es Salaam ikitanguliwa na misa iliyosomwa na Katekista wa Kanisa Katoliki Mburahati, Owen Hokororo.
Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, ACP Camillius Wambura amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kukiri kuwa ni nyumbani kwa balozi wa Qatar nchini.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. Amina.
GPL

WHEAT CLICK THIS PHOTO