Slider[Style1]

HABARI

BONGO MOVIES

BONGO FLEVA

.

BONGO VIDEOS

Style5[ImagesOnly]

STORY ZA INSTAGRAM

Baada ya kuambiwa anaujauzito, Hii ndiyo picha aliyo post Aunt Ezekiel na kuandika haya


Baada ya wengi kuongea na baadhi ya vyombo vya habari zikiwemo na blogs kuandika kuwa Aunt Ezekiel anaujauzito na hadi kufikia kudhaniwa ni nje ya ndoa pamoja na mmoja wa wanenguaji wa msanii Diamond Platnumz kuhisiwa anahusika, Masaa 24 yaliyo pita kupitia account yake ya instagram Aunt Ezekiel ameandika haya.
Lazima ujue Kutofautisha kati ya Kitambi na Mimba Sasa hiki Chagueni wenyewe ni KITAMBI AU MIMBA!!!!!legoooooooooo......

Hemedy Kuja Na Video Mpya Jina Na Lini Inatoka Viko Hapa. #TwitZaMastaa

Kama ilivyo kawaida kwa Hemedy Phd kutoa kazi na video mapema ili mashabiki wapate vyote kwenye radio na tv, Hii itatokea kwenye wimbo wake mpya GoodMorning. Video inatarajiwa kutoka December
 
 

Soma alichoandika Masanja Mkandamizaji kuhusu uhusiano wa Wema na Diamond

WEMA
Masanja mkandamizaji mchekeshaji kutoka kundi la Komedi Orijino kupitia ukurasa wake wa instagram ameandika mawazo yake juu ya uhusiano wa Wema Sepetu na Diamond.
Hiki ndicho alichoandika,”Hili swala la diamond na wema nadhani mungu amemuhurumia mmoja wapo kati ya hao wawili. Kama wangekuwa watu wa kuoana wangesha oana uchumba gani mrefu kama wanasomea udokta????
Rafiki yangu nasib, kama kweli mlipendana kwa dhati hizo kasoro zinarekebishika, maana hakuna mwanadamu aliye sahihi kwan hata ww nasib unamapungufu yako. Na wewe dada yangu wema lazima ujue mme ndio kichwa cha nyumba kwa maelezo hayo inaonyesha haumsikilizagi mwenzio omba msamaha tenaaa na tena na ukubali kubadilika.
Mi sipendi mkiwa mnaongozana wote kwenye ma show ya usiku mme kafanye kazi mke abaki home ukirudi mwili umepoa hata ujauzito unaingiaa!! Sasa woote stejini mkirudi miili ya moto si mtazaa popompoo jamaniii!! Nitafurahi kusikia tofauti zenu mmezimaliza kwa amani ili mashabiki wenu wasijisikie vibaya
WEMA2

Inasemekana Hii Ndio Couple Mpya Ya Mastaa Duniani.

Jennifer Lawrence Na Chris Martin
Jennifer Lawrence Na Chris Martin
Mpenzi wa habari za burudani duniani utakuwa umegundua trend inayoendelea kwa sasa ya couple nyingi za masta kuvunjika kwa sababu tofauti, Stori mpya ambayo imeenda tofauti ni kuhusu tetesi zilizosamba kuwa mwigizaji Jennifer Lawrence na kiongozi mwimbaji wa bendi ya rock ya Cold Play Chris Martin ni wapenzi.
Vyanzo vingi vimeripoti kuwa tayari mashabiki wa watu hawa maarufu wamejumuisha majina yao na kuanza kuwaita “Martin Lawrence” . Ndoa ya Chris Martin ambaye ni rafiki wa karibu wa familia ya The Carters [Jay z Na Beyonce] ilivunjika miezi michache nyuma.

Star mwingine kutoka Tanzania ambaye page ya Facebook imekuwa verified

hasheeeeeemAlama ya verified ndio inatambulisha ukurasa halali wa mtumiaji kwenye mitandao mingi sana. Alama hii ni muhimu sana hasa kwa watu maarufu wanaotumia mitandao ili kuepuka kuwepo kwa kurasa feki ambazo haziwahusu.
Hivi sasa mtu maarufu ambaye page yake ya facebook imekuwa verified ni mchezaji wa kikapu kwenye timu ya Oklahoma City Thunders “Hasheem Thabeet”. Ukurasa wake wa twitter ulikuwa verified siku nyingi na hivi sasa mashabiki wake wa facebook watakuwa na uhakika kwasababu na facebook wame-verify ukurasa wake.
hashee

Picha 8 za Jumba la kifahari Oscar Pistorius alilopanga kuishi na mpenzi wake kabla ya kumuua.

 

oscar2
Hizi ni baadhi ya picha Jumba kubwa la kifahari la Oscar Pistorius lenye thamani ya Paundi 530,000 ambalo alipanga kuhamia na mpenzi wake Reeva Steenkamp kabla ya tukio la kumpiga risasi akiwa bafuni ambapo kesi yake bado inaendelea.
Pistorius tayari alikwishalipia nyumba hiyo baada ya makubaliano na mpenzi wake huyo baada ya kutembelea nyumba hiyo ambapo wapenzi hao waliwaambia marafiki zao juu ya mpango wa kuhamia katika nyumba hiyo jijini Johannesburg.
oscar1
oscar3

oscar4 

oscar5

oscar6

oscar7

oscar8

oscar9

Mrembo wa Kenya Mwenye Umbo la Utata Corazon Kwamboka, Akiri Kumzimia Hermy B


Kama girlfriend wako akikuona unaongea na Corazon Kwamboka, hakuna shaka kuwa roho yake itamdunda kwakuwa wazo la kwanza litakalomuijia kichwani ni kuwa himaya yake ipo matatani. Corazon Kwamboka ambaye ni mwanasheria by profession, ameiteka blogsphere ya Kenya kwa umbo lake matata na kuvutia kama la Agnes Masogange.

Hii imewafanya wasichana wengi wa Kenya wamuonee wivu na kumsema vibaya. Pamoja na kuwatoa wanaume udenda kwa umbo lake, producer wa B’Hits, Hermy B, amekuwa mwanaume mwenye bahati kwakuwa amezimiwa na mrembo huyo aliyeamua kuweka wazi kwenye Instagram.

“Before Monday ends.. here is my real crush #MCM. Hermes tpf,” aliandika mrembo huyo Jumatatu hii.

Kuhusu Young Dee kupigwa alipokwenda Skylight Band.


Screen Shot 2014-04-30 at 4.24.26 PM

Kama hukusikia hii inamhusu Young Dee na hii inasemekana kuwa alipigwa makonzi wakati tamasha la Skylight Band likiendelea ambapo Soudy Brown anaamplify taarifa hizi ambazo Young Dee nae amesikika akizizungumzia.
Bonyeza play kusikiliza.

WHEAT CLICK THIS PHOTO