Slider[Style1]

HABARI

BONGO MOVIES

BONGO FLEVA

.

BONGO VIDEOS

Style5[ImagesOnly]

STORY ZA INSTAGRAM

SINTAH " NASUBIRI KUPIGWA NA SHILOLE KAMA ALIVYO AHIDI-SAFARI ZA UKUBWANI MAJANGA"


"Heee aliposema Sintah akarukiwa kwenye media zote nini na nini mbuta nanga.
Nothing personal to be honest ila watanzania tusipende kudanganyana jamaniii, juzi tu tulikuwa na kampeni za kwenda World Cup 2014 Brazil na kamati zikaundwa za kutosha tu, leo hakuna hata anayejua ndoto zimefia wapi now heeee.

"SIJAWAHI PIGA PICHA ZA UCHI...NIMEMFAHAMU SINTAH KUPITIA SKENDO YA KUGAWA PENZI KWA NATURE"...RAYUU AFUNGUKA TENA

Jana, Bongomovies.com imefanya interview kwa njia ya simu na mwanadada msanii Rayuu alaice Bungenzi kuhusiana na mambo mablimbali yanayoandikwa kwenye mitandao na tovuti mbalimbali nchini. 


Katika interview hiyo waliweza kupata mambo manne  kama  ifuatavyo:

 

WHEAT CLICK THIS PHOTO