Slider[Style1]

HABARI

BONGO MOVIES

BONGO FLEVA

.

BONGO VIDEOS

Style5[ImagesOnly]

STORY ZA INSTAGRAM

MPENZI WANGU ANAPENDA PICHA MPAKA ANAKERA..!! KILA SAA PICHA

Nimejaribu kumkanya sana bado tu haachi tabia hiyo ya kupiga piga picha, Bora basi hata picha zenyewe ziwe za maana, Picha zake ni shida tupu, yani za utata, unaweza hata ukafa kwa presha ukiziona, ni hatari sana. Naombeni ushauri jamani maana nimeshasema mpaka nimechoka..!!

YALIYONIKUTA JANA SIWEZI RUDIA KUMPIGIA SIMU MWANAMKE YOYOTE USIKU



Yaliyonikuta jana siwezi rudia kumpigia simu mwanamke yoyote usiku

Kuna msichana nilikuwa namchukulia kama dada kwa sababu ni dada wa rafiki yangu na tumekuwa tukipigiana simu ata usiku yeye pia amekuwa akinitumia ujumbe ata usiku ikawa mazoea.

Jana usiku wa saa nne nikampigia simu nimwambie wikend njema,akapokea simu mwanaume anaongea kama watu wa Arusha.

Alivyosikia sauti ya kiume tu bila kuuliza mi ni nani alinifulumishia matusi ya nguoni sana na kuniambia yeye anaenjoy kifuani mimi naangaika kupigia simu wake za wengine.

Akanitukania mama yangu,na matusi mengine makali, nilijitahidi kumwambia siwez rudia kupiga simu sababu sikujua kama ana mwanaume.Na pia nikamwambia uyo ni kama dada yangu lakin hakunielewa .uyo rafik yangu amekuwa akiniambia yuko single hana mtu.

Siwezi rudia kumpigia simu rafik yangu yoyote wa kike usiku.mwisho itakuwa saa 12 jioni.Matusi niliyotukanwa ni makubwa.

IF YOUR HUSBAND STRAYS, IT'S YOUR FAULT WOMAN

The recent wave of straying men is alarming. In fact, the issue of having ‘clandes’ otherwise known as ‘mpango wa kando’ has come to the attention of all such that debating about them in public and anywhere else people deem fit is no longer refutable.

In the recent years, married women or those in serious relationships have crafted a spirited fight against the so-called mushroom constituency of competitors. Present in this ‘constituency of competitors’ are certain types of women commonly referred to as ‘Clandes a.k.a Mpango wa kandos’ whom in other words can still be referred to as ‘the side kick’.

So if I were to ask, what has led to the emergency of this mushroom constituency? According to the Crazy Monday, married women are to be blamed for driving their men away from their homes which in turn increases their chances of finding comfort in the hands of the ‘side kick’.

But how is that? A pastor with one of the most popular worship sanctuaries in town opines,

“You see, it’s a battle out there for most men in their endeavors to provide for their families. So when they come home, this is the place he looks forward to get peace and comfort”.

Based on that argument, it is agreeable that home is the last place a man wants or expects to be bothered or better yet, subjected to any sort of battle. In essence, a man wants to have relative peace and comfort at home in addition to love and all that appertains to it.

As a wife, you may still ask yourself what happens if you have something critical you need discussed or addressed urgently. Wonder no more, the pastor says;

“My dear sister, even the Holy Scripture says there is time for everything. There is time to laugh and there is time to cry, there is time to work and there is time to play. It is upon you the woman to know your man and know when he is ready to be engaged in a draining conversation”.

When looked from such a vantage point, one must understand that simply because the wife is ready to discuss certain touching issues at certain times does not necessarily mean that the man is the mood to discuss them.

As noted in a number of considerable debates, women tend to let themselves down, ignore the small things that used to spark their relationships and reach to a point where they no longer bother wearing the negligees the man bought them. Instead, they choose to wear maternity-like dresses and ‘seng’eng’e ni ng’ombe’ or ‘Safaricom’ branded T-shirts which are, in my opinion, an absolute turn-off.

What they do not seem to understand is that, by doing so, they are simply preparing fertile grounds for their men to look for love somewhere else. With these facts on the table, if he seeks comfort in the hands of another woman and happen to be lucky or rather unlucky, for that matter, to find out about the ‘mpango wa kando’, blame no one but yourself woman.

KINACHOWAPONZA WANAWAKE WENGI NI MAAMUZI DUNI KWENYE MAMBO YA MSINGI..ONA HII

LABDA HII ITAWASAIDIA:
Kinachowaponza Wanawake ni POOR DECISION MAKING IN CRITICAL ISSUES.
Unakuta mtu anajua kabisa ana Boyfriend Levi la Kutupwa,analala mtaroni kila siku,anafikishwa nyumbani hajitambui kafikaje,yeye yupo tu amekazana na Fanta yake..Unachumbiwa na kuolewa na hilihili levi,unasota nalo miaka 2 ya ndoa inakuwa kero...Ulimvumilia kwenye Uchumba coz hamkuwa mnalala pamoja,analewa na kutapika akiwa kwake na wewe uko kwenu..Sasa Mzigo ni wako,mko SAME BED..Anatapika hapo..Harudi home siku 4..Na hata akirudi yuko Njwii,hata 'kazi hawezi kupiga'
Unaenda kulalamika kwa Mchungaji kuhusu Tabia mbaya ya mmeo...YOU KNEW IT..Ukapuuzia na ukakubali kuolewa na JANGA...Mtabaki kusumbua Wachungaji na Wakwe kuwapatanisha wakati mlikuwa na Muda wa kujuana kabla hamjaamua kuishi pamoja
Kipindi cha Uchumba kitumie KUMFAHAMU VIZURI..Sio ukitumie KUMCHUNA,KULA BATA,OFA ZA KITIMOTO,TRIP ZA BAGAMOYO,KUMPIGA MIZINGA YA PERUVIAN HAIR..Ukasahau KEY ISSUES...Mmekaa miaka 6 ana watoto 2 na Wanawake wengine..Analewa na kulala mtaroni..Halafu analeta Posa unasema kuolewa ni Bahati.
Yakikushinda Usitusumbue...Sio kila POSA ni bahati,Posa nyingine ni kichaka tu cha kutua majanga yao...Your Decision TODAY will affect your TOMORROW...Think twice before you say YES to a Problem.

KUMBE KAULI MBIU YA MAPENZI NI UONGO

WAUME ZETU WA KIAFRIKA JIFUNZENI KUPENDA WAKE ZENU-SPOIL YOUR WIFE

MAPENZI:ANAPENDA KUICHEZEA YANGU ILA KU DO HATAKI KABISA..HELP


Kuna binti mmoja, nilikua nampenda sana, nkamtongoza akanambia hawez kuwa mpenzi wangu coz ana boy wake.. Tukawa marafiki,, siku moja akaniomba twende disko, tulipomaliza kucheza akasema nkalale kwake, nkajua nafasi ndio hii. Cha ajabu tulipolala hakutaka tufanye tendo ila aliniambia anapenda kuichezea yangu,

WHEAT CLICK THIS PHOTO