Slider[Style1]

HABARI

BONGO MOVIES

BONGO FLEVA

.

BONGO VIDEOS

Style5[ImagesOnly]

STORY ZA INSTAGRAM

'IDD AZZAN HAUZI UNGA'


IDD AZZAN" NIPIGWE RISASI NIKIGUNDULIKA NAJIUSISHA NA MADAWA YA KULEVYA"



Baada ya Barua iliyosambaa mtandaoni ikimtaja Mbunge Iddi Azzan kuwa ni mmoja wa wauza Madawa ya kulevya ..Amejitokeza na kujipeleka polisi Mara mbili ili wamchunguze , katika

AZZAN:NITAJIUZULU IKIBAINIKA NAUZA MADAWA YA KULEVYA


MBUNGE wa Kinondoni (CCM), Idd Azzan, amesema yupo tayari kujiuzulu ubunge, ikiwa itabainika anajihusisha biashara ya dawa za kulevya. Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya kutajwa katika moja ya barua iliyosambazwa katika mitandao ya kijamii, baada ya mtu anayedaiwa kukamatwa China na kuwatuhumu watu kadhaa akiwamo Idd Azzan. Akizungumza na MTANZANIA jana kuhusu sakata hilo, alisema hatua ya kuhusishwa na biashara haramu ya dawa za kulevya, ni kutotenda haki mbele ya jamii hasa wapiga kura wake na Taifa kwa ujumla.

WHEAT CLICK THIS PHOTO