Mwanasiasa mmoja wa Sweden anayeonekana kuwa member mzuri wa mtandao
unaozidi kupata umaarufu bongo wa Instagram, katika hali ya ushabiki na
kutaka kushare picha ya tattoo yake ya Liverpool FC iliyochorwa katika
mguu wake wa kushoto , kwa bahati mbaya alijikuta akionesha mpaka sehemu
za ‘ikulu ya mwili’.
Lars Ohly mwenye miaka 56, anayeonekana kuwa shabiki mkubwa wa timu ya
Liverpool, baada ya kuweka picha hiyo bila kujua huwa ‘Mr Ohly’ pia
ameonekana, aliifuta haraka japokuwa tayari watu walikuwa wameipata.....
Latest
m.media photographer_mimi. Powered by Blogger.
Featured author
admin
PostsThe Admin is a powerful person in this world, more powerful than the president of USA. The very mention of admin sends shivers down the president. You have been warned!
"SASA NIMEOKOKA.....UJINGA SITAKI TENA"...LULU MICHAEL
Posted by: ujugu Posted date: 12:47 / comment : 0 FACEBOOK, UDAKU
MUIGIZAJI machachari wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema baada ya kupata misukosuko ya kimaisha, sasa maisha yake ameyaelekeza katika sala kumuomba Mungu amsamehe makosa yake. .......
Mbunge wa Sweden aweka kimakosa picha inayoonesha sehemu zake za siri Instagram hii ni wakati akitaka kuionyesha tatoo ya Liverpool
Posted by: ujugu Posted date: 18:40 / comment : 1 FACEBOOK, TWITTER
#NEW PAGE ON FACEBOOK MABOVU STORY
Posted by: ujugu Posted date: 17:27 / comment : 0 FACEBOOK
KITALE ALAANI KUHUSISHWA NA MALI ZA SHARO, SOMA HAPA ALICHOKISEMA
Posted by: ujugu Posted date: 17:12 / comment : 0 FACEBOOK, MATANGAZO
Msanii wa Commedy nchini na muimbaji wa bongo fleva Kitale rais wa mateja, amekanusha taarifa zinazomuhusiha na mali za Marehemu Sharo milionea.
Katika A/C yake ya BBM Kitale ameandika
Subscribe to:
Posts (Atom)
ABOUT ME
- Popular Post
- Video
- Category
HOT NEWS
-
Diamond akiwa na mkubwa wake wa kazi
-
Since its founding, Ketebul has been focused on ‘Bridge’ artists – the key artists that created certain genre that link the tribal mus...
-
Wanajeshi wa Brigedi Maalum wakiwa katika mazoezi makali yaliyofanyika hivi karibuni huko Goma Mashariki ya Demok...



