Slider[Style1]

HABARI

BONGO MOVIES

BONGO FLEVA

.

BONGO VIDEOS

Style5[ImagesOnly]

STORY ZA INSTAGRAM


Hii ishu imefika mezani kwa gossip cop Soudy Brown .. inahusu mwanafunzi ambae amelalamika kwamba ilikuwa mara yake ya kwanza kuigiza, ikatokea director mmoja wa bongo movie akamwingilia kinguvu.
Dadake msichana huyo amesimulia kwamba walikuwa location kufanya movie, director huyo akamuita mdogo wake kwenye chumba chake na kumwingilia kwa nguvu.
Msichana aliyefanyiwa kitendo hicho amesema hiyo ilikuwa mara yake ya kwanza kuigiza.. siku ya tukio walikuwa location, director huyo akamuita kwenye chumba cha wanaume ili amuelekeze kitu, alipoingia akamfanyia kitendo hicho.. alijaribu kupiga kelele lakini watu hawakusikia na alishindwa kutoa taarifa kwa kuhofia kupata aibu.
Kusikiliza stori yote bonyeza play hapa chini…

About ujugu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

WHEAT CLICK THIS PHOTO