Mtoto anayeaminika kuwa ni wa 50 Cent Marquise Jackson
ameweka picha yake facebook akiwa na Floyd Mayweather ambaye kwa sasa
hawaelewani na rapper 50 Cent. Hii sio mara ya kwanza Marquise amefanya
kitu kama hichi kumuudhi baba yake, awali Marquise alipiga picha na
bidha ya Slowbucks ambayo kampuni hio haina maelewani mazuri na 50 Cent.
Picha hio iliambatana na ujumbe uliosema “With Tank and Floyd.”
No comments: