Slider[Style1]

HABARI

BONGO MOVIES

BONGO FLEVA

.

BONGO VIDEOS

Style5[ImagesOnly]

STORY ZA INSTAGRAM

pic 

Mtoto anayeaminika kuwa ni wa 50 Cent Marquise Jackson ameweka picha yake facebook akiwa na Floyd Mayweather ambaye kwa sasa hawaelewani na rapper 50 Cent. Hii sio mara ya kwanza Marquise amefanya kitu kama hichi kumuudhi baba yake, awali Marquise alipiga picha na bidha ya Slowbucks ambayo kampuni hio haina maelewani mazuri na 50 Cent.
Picha hio iliambatana na ujumbe uliosema “With Tank and Floyd.”
mabovu story.com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia >> Instagram , Twitter Na Facebook

About ujugu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

WHEAT CLICK THIS PHOTO