Baada
ya kukutana na viongozi wa vyamba mbalimbali vya upinzani Tanzania na
kuzungumzia ishu ya bunge la katiba, iliamuliwa kwamba katiba ya zamani
ndio itakayotumika kwenye uchaguzi mkuu ujao ila itafanyiwa marekebisho.
Kwenye
ukurasa wake wa twitter President JK ambae alikua hajaandika chochote
toka Aug 6 2014, aliweka hiyo picha hapo juu ikimuonyesha kwenye mkutano
na viongozi hao na kuandika >>
mabovu story.com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia >> Instagram , Twitter Na Facebook
Uliikosa picha aliyoiweka Rais Kikwete twitter baada ya kukutana na Wapinzani na alichoandika?

No comments: