Slider[Style1]

HABARI

BONGO MOVIES

BONGO FLEVA

.

BONGO VIDEOS

Style5[ImagesOnly]

STORY ZA INSTAGRAM

Mtandao wa record lebel ya Jay Z ‘Roc Nation’ umetoa taarifa kuwa rapper Big Sean ndio msanii wao mpya aliyejiunga na record lebel hio. big
Big Sean alikuwa member wa familia ya Good Music ya Kanye West ambayo ndio iliyomtoa na alikuwa akisimamiwa na Kevin Liles kupitia KWL Enterprises. Big Sean ametangaza kuhamia Roc Nation wiki chache tuu baada ya Meek Mil kutengana na kampuni hio na kwa sasa Big Sean amejiunga kwenye usimamizi moja na wasanii kama Rihanna, Jay Z, Meek Mil, Timbaland, Dj Mustard, Kanye West,Shakira na Melanie Fiona.

mabovu story.com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia >> Instagram , Twitter Na Facebook

About ujugu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

WHEAT CLICK THIS PHOTO