Slider[Style1]

HABARI

BONGO MOVIES

BONGO FLEVA

.

BONGO VIDEOS

Style5[ImagesOnly]

STORY ZA INSTAGRAM

Huenda mwakilishi wa mara mbili wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa, Mwisho Mwapamba anaufurahia zaidi wimbo wa Pharrell Williams, ‘Happy’ kuliko mtu mwingine yeyote.

“Nashukuru sanaa mungu kwa kunipatia kazi mpya kitu kipya cha kujifunza! pia biashara zaenda sawa ! new house ni mzuka sanaa uhuru wa kutosha japo umeme bado ila ndio mambo yangu hayo. pia family ipo njema kiafya so im very happy! just miss my kids na wife kuspend muda pamoja but its all good sikuzinaenda kwa kasi na when u fight the good fighty, u fight good,” kupitia Facebook, ameandika Mwampamba ambaye kwa sasa anaishi nchini Namibia na mke wake Meryl Vuyeya Mwampamba (japo kwa sasa yupo nchini).

About ujugu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

WHEAT CLICK THIS PHOTO