Slider[Style1]

HABARI

BONGO MOVIES

BONGO FLEVA

.

BONGO VIDEOS

Style5[ImagesOnly]

STORY ZA INSTAGRAM

Bandugu..kumekuwa na malalamiko mengi sana katika swala zima la mapenzi kwa siku hizi za karibuni na hii inasabanisha kuongezeka kwa waganga na matangazo mengi mara ya Kuongeza uume.Kutight uke.Kuleta hamu ya mapenzi.Kuongeza nguvu za kiume.Hii inanipa maswali kwamba tatizo ni nn.
1.Wengi wanataka kurefusha uume ili kumfikisha mwanamke kileleni.Je tatizo ni urefu au upana wa uume?
2.Wengi wanatumia dawa kuongeza nguvu ili kumridhisha mwanamke je tatizo ni lishe hazina nguvu au nguvu zinakwenda wapi?
3.Kwa wanawake kutwa kucha kwa waganga wa mitishamba kutafuta dawa za kubana mashine.mara tangawizi na limao,mara sabuni za ukwaju duuh.sasa nini kinafanya k kuwa kubwa?
4.Wengine ni kutafuta hamu ya kufanya mapenzi mwanamke kwa mwaka anafika kileleni mara moja au mbili.nn tatizo.

Kuna jamaa mmoja alisema wanawake wa siku hizi k zao kubwa sana coz ya mavidonge ya uzazi wa mpango.
Mwingine akasema hapana mbona hata mabinti wachanga tu k zao ni kama visima vya maji tatizo vyakula.
Duuh.mwingine akasema tatizo ni uume wako mdogo sio k kubwa.
KWELI HAPA KITENDAWILI LIPI JIBU SAHIHI NA NINI KIFANYIKE.STAREHE NI KWA WOTE.

About ujugu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

WHEAT CLICK THIS PHOTO