ommy dimpozi asema kwa anaomba sana msamaha kwa watazania wote na kusema kuwa anawapenda sana watanzania wote na kusema kuwa ata watanzania wanamkubali na kukubali kazi zake ndo maana ata yale maneno alio yasema kuhusu ngwea watu wamechukia ila yeye amkubali kosa na amesema kuwa ameshafanya toba ila anapenda pia kusema kuwa anawapenda watanzania wote na adhani mtamuelewa na amesema anapenda blog zote Tanzania kwani bila blog sio dimpozi
OMM DIMPOZI ATOA UTETEZI WAKE LEO ALIPOKUWA ANAZUNGUMZA KWA NJIA YA SIMU NA MABOVU STORY

No comments: