Slider[Style1]

HABARI

BONGO MOVIES

BONGO FLEVA

.

BONGO VIDEOS

Style5[ImagesOnly]

STORY ZA INSTAGRAM

                                     
timu kogwe ya mpira wa miguu Tanzania SIMBA SPORTS CLUB yafanyiwa kitu kibaya sana katika mchezo wake uilochezwa leo na mtani wake wa jadi YANGA AFRICAN WATOTO WA JANGWANI katika uwanja wa taifa dar es salaam na simba kuchezea kichapo cha gori 2:0 kama wamesimama gori la kwanza kwa yanga likipatikana kwa mshambuliaji wake KAVUMBAGU na la pili kutoka kwa HAMISI KIIZA DIEGO simba watafuta njia yakutokea yani wamepoteza ramani mashabiki wa simba walitamani wavue nguo zao na wavae viroba leo mashabiki wa yanga wanafurahi na kuruks ruka kwa ushindi walio pata leo wengine wanaonekana na nyuso za furaha zaidi

TA



About ujugu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

WHEAT CLICK THIS PHOTO