Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amekatisha ziara yake nchini Kuwait na kurejea nchini kwa ajili ya kushughulikia tatizo la ulipuaji wa bomu iliyotokea Jiji la Arusha.
Mlipuko huo uliouwa mtu mmoja na kujeruhi wengine 62 ulitokea katika
Kanisa Katoliki la Mt. Joseph Mfanyakazi la Olasiti jijini hapo, mtu
mmoja tayari anashilikiwa na Askari wa Jeshi la Polisi nchini kwa tuhuma
za kuhusika na tukio hilo.
Hatua ya Rais Kikwete kukatisha ziara yake nchini Kuwait imekuja siku
moja baada ya kiongozi huyo kutoa kauli kali kwamba watuhumiwa wa tukio
hilo nilazima watafutwe na kukamatwa mara moja.
“Tutawasaka popote walipo na kupambana nao bila huruma. Aidha,
tutakabiliana na aina yoyote ya uhalifu nchini iwe ni ugaidi au aina
yoyote ya uhalifu wa namna hiyo au wa namna nyingine”.
“Haiwezekani wahusika hao wawe na chimbuko lao ndani ama nje ya nchi
yetu Kamwe hatutakubali kuwaacha wavuruge amani na usalama wa Tanzania
na watu wake”alisema Rais Kikwete akiwa nchini Kuwait.
Taarifa za Rais Kikwete kukatisha ziara yake nchini Kuwait zimelifikia mabovu story hivi punde kutoka vyanzo vya ndani katika idara ya Kurugenzi na Mawasiliano Ikulu jijini Dar es Salaam.
Latest
m.media photographer_mimi. Powered by Blogger.
Featured author
admin
PostsThe Admin is a powerful person in this world, more powerful than the president of USA. The very mention of admin sends shivers down the president. You have been warned!
Home
Unlabelled
Rais kikwete akatisha ziara yake nchini kuwait
Tagged with:
About ujugu
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ABOUT ME

- Popular Post
- Video
- Category
HOT NEWS
-
Diamond akiwa na mkubwa wake wa kazi
-
Since its founding, Ketebul has been focused on ‘Bridge’ artists – the key artists that created certain genre that link the tribal mus...
-
Wanajeshi wa Brigedi Maalum wakiwa katika mazoezi makali yaliyofanyika hivi karibuni huko Goma Mashariki ya Demok...
No comments: