MSANII NGULI WA MAIGIZO NCHINI TANZANIA NDG.HUSSEIN JUMA NANGUNI ALMARUFU KAMA KAMBANGWA ameiambia blog ya mabovu story kUwa anapenda kuwaambia wapenzi wake au mashabiki wake kuwa anatarajia kutoa moive yake mpya inayo kwenda kwa jina la MR GEA alio washilikisha wasanii marufu tanzania kama jacline worper,mzee chiro na wengineo wengi so watch out kazi hii ya msanii huyu mtoto mwenye umri wa miaka 17 sasa lakini amekuwa akifanya ramani ya tanzania ibadilike kwenye swala zima la moive akiwa sambamba na kampuni yake inayo kwenda kwa jina la KAMBANGWA FILM COMPANY
KAMBANGWA AINGIZA MOIVE YAKE SOKONI

MIMAONI YANGU KUWA DOGO AKAZE BUTI KWANI BADO ANA SAFARI NDEFU SANA KATIKA SANAA ILA BIG UP XANA DOGO
ReplyDelete