Slider[Style1]

HABARI

BONGO MOVIES

BONGO FLEVA

.

BONGO VIDEOS

Style5[ImagesOnly]

STORY ZA INSTAGRAM

 
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Akili Mpwapwa.
Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Manyara, imelazimika kuondoka ghafla kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani jana, kwenda wilayani Hanang, ambako mtu mmoja alichinjwa hadi kufa na mwingine kujeruhiwa kwa mshale katika ugomvi uliohusisha vijiji viwili.

Vijiji vilivyozua mapigano hayo ni vya Muleru na Lalage na inadaiwa kuwa chanzo chake ni kugombea msitu unaomilikiwa na kijiji kimojawapo.

Diwani wa Kata ya Balangdalalu, Paulo Tarimo, alisema jana kuwa ugomvi kati ya vijiji hivyo ni wa siku nyingi na ulikuwa ukitafutiwa ufumbuzi kupitia vikao mbalimbali.WWW.HAJIMABOVU.BLOGSPORT.COM

About ujugu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

WHEAT CLICK THIS PHOTO