Slider[Style1]

HABARI

BONGO MOVIES

BONGO FLEVA

.

BONGO VIDEOS

Style5[ImagesOnly]

STORY ZA INSTAGRAM

familia ya mke,mume na mtoto yanusurika kufa huko mkoani dodoma kutokana na gari ya aina ya noah kupoteza mwelekeo na kwenda kugonga kwenye chumba cha wanafamili hiyo iliyo opposite na barabara ya jamuhuri mkoani dodoma. Akizungumzia  tukio hilo kwenye blog ya MABOVU STORY mke wa gau alieleza kuwa alipo kuwa amelala yeye na mume wake na mtoto wake mwenye umri wa miaka kumi na nne mumin adam walisikia kishindo kikubwa kilicho ambatana na upande mkubwa wa ukuta wa chumba ukiporomoka ndani. tazama picha za tukio zima
na haji mwandawila

About ujugu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

WHEAT CLICK THIS PHOTO